House4Sale Nauza nyumba ipo maeneo ya Mwinyi, Tabora Mjini

george pk

Senior Member
Joined
Jun 15, 2020
Posts
123
Reaction score
165
Wakuu habari zenu? Nimeamua kuwaletea hii taarifa njema, hasa kwa wale wenye tamanio la kuishi Tabora (Unyamwezini) kwa watoto wa kiarabu.
Kiufupi ni kwamba nyumba ina sehemu mbili...
Nyumba kubwa na ndogo.
Nyumba kubwa ina vyumba sita.
Na nyumba ndogo ina vyumba vitatu...
Ina ukuta, na geti.
Kwa wale mliowahi kufika/kuishi Tabora [Toronto] ...nyumba ipo maeneo ya Mwinyi mbele ya Efatha. Barabarani kabisa.

Naambatanisha na picha hapa chini. Mwenye uhitaji anicheck PM ... tuyajenge...
.
 
Napajua apa ni karibu na shule moja ya private mzungu , inaitwaje sijui?
 
Mwinyi imejaa vibaka na ardhi ya huko inamaji mengi sana.
 
Napajua apa ni karibu na shule moja ya private mzungu , inaitwaje sijui?
Mzungu? Hayo maeneo yanatizamana na shule ya sekondari mwinyi

Shule ya mzungu ipo mbali sana na hapo, inaitwa New Era.

Nimefanya project nyingi huko kabla sijaanua
 
Mwinyi imejaa vibaka na ardhi ya huko inamaji mengi sana.
Hapana mkuu...labda Mwinyi ya kule chini(Skanda)...
Mi nyumba yangu ipo mwanzoni kabisa ...karibu na Efatha dispensary...
Kuna msikiti upo barabarani tu... upande wake wa pili sasa
 
Mzungu? Hayo maeneo yanatizamana na shule ya sekondari mwinyi

Shule ya mzungu ipo mbali sana na hapo, inaitwa New Era.

Nimefanya project nyingi huko kabla sijaanua
Kweli mkuu...yeye anapazungumzia NEW Era, kule Ng'ambo....
Unless labda awe amechanganya na Mwinyi Sec.
 
Hiyo ni nyumba yako?
 
Hii nyumba naijua vzr , si nyumba ya mzee mmoja hiv amefilisika mzee Leornad. Anafamilia nyingine lolangulu na mke wake mwingine mama Cesi yupo kitunda.
 
Hii nyumba naijua vzr , si nyumba ya mzee mmoja hiv amefilisika mzee Leornad. Anafamilia nyingine lolangulu na mke wake mwingine mama Cesi yupo kitunda.
Yes, ashaiuza kitambo sana...
Na kesho nakuja huko...
Kuna wateja nimepata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…