House4Sale Nauza nyumba

House4Sale Nauza nyumba

Spliffcharm

Senior Member
Joined
Jun 21, 2020
Posts
136
Reaction score
370
Nyumba kubwa inauzwa mbagala kuu kijichi jeshini
Ina vyumba vitatu master moja,sitting room kubwa,dinning,kitchen na store
Ina seventy quarter ambayo haijamaliziwa pamoja na banda kubwa la mifugo nje
Parking kubwa ya magari mpaka matano
Maji na umeme
Square meter 2117
Bei mill70
Kwa picha za ndani au maelezo zaidi piga/whatsaap 0676169893
Offer yako naisikiliza kwa aliye serious
1629608441509.jpg
IMG-20210822-WA0008.jpg
IMG-20210822-WA0005.jpg
IMG-20210822-WA0003.jpg
IMG-20210822-WA0006.jpg
IMG-20210822-WA0007.jpg
IMG-20210822-WA0001.jpg
IMG-20210822-WA0004.jpg
 
Mbona imechakaa sana mkuu..?
Hapana kaka, Ni picha nadhani.
Ila iko location nzuri na nje tu lami mpaka mjini .. mtaa tulivu sana karibu na jeshi la polisi hence iko safe sana. Kwa maelezo zaidi karibu whatsapp kiongozi
 
Back
Top Bottom