The Donchop
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 294
- 378
- Thread starter
-
- #21
sasa kama pana mafuriko kweli bd unaniuliza chaguo ni langu mmh 60 ml for mafuriko house mmh usipoteze mda hutapata mteja
title deed.Documents una title deed au leseni ya ma kazi mkuu ..
Nyumba/kiwanja ni barabara kama haifiki gari basi mbona majanga!!
watu wangekua wanajenga kwenye barabara basi, nyoosha kiswahili mkuu.
why do l have to waste my time to read again and again? l am here for something else mkuu.Utaelewa tu we rudia tena!! Kwani wanavyosema Nyumba Choo wanamaanisha nyumba inajengwa kwenye choo? Jitambue!! Nyumba/kiwanja ni barabara kama hakuna hakina thamani
Unaongelea fake document, naongelea original document, you see the difference???