The Donchop
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 294
- 378
- Thread starter
- #21
sasa kama pana mafuriko kweli bd unaniuliza chaguo ni langu mmh 60 ml for mafuriko house mmh usipoteze mda hutapata mteja
shida ni gari and nothing else, hakuna aliyekuuliza kua chaguo ni lako, do you even understand sentensi zenye maswali???
Hakuna kitu kibaya kama kukurupuka kujibu bila kujua uliulizwa nini.
Anyway thank you kwa mchango wako.