Phone4Sale Nauza Oppo A15

Haina tatizo kabisa
 
Oppo inawangoja wadau
 
Oppo ipo Kabatini inahitaji mtumiaji
 
Kwa nini unauza hii sababu lazima useme kumtoa mtu shaka, kama kipengele kipo unasema.
 
Kwa nini unauza hii sababu lazima useme kumtoa mtu shaka, kama kipengele kipo unasema.
Swali zuri sana hili
Kwanza hii simu alikua anatumia Wife
Mimi nina kawaida ya kuupgrade simu baada ya muda fulani, yaani nabadilisha simu mimi na wife ili kujipongeza na kitu kipya

Kwa sasa hii haitumiki tena hivyo lazima Niuze
 
Kwa nini unauza hii sababu lazima useme kumtoa mtu shaka, kama kipengele kipo unasema.
Swali zuri sana hili
Kwanza hii simu alikua anatumia Wife
Mimi nina kawaida ya kuupgrade simu baada ya muda fulani, yaani nabadilisha simu mimi na wife ili kujipongeza na kitu kipya

Kwa sasa hii haitumiki tena hivyo lazima Niuze
 
Swali zuri sana hili
Kwanza hii simu alikua anatumia Wife
Mimi nina kawaida ya kuupgrade simu baada ya muda fulani, yaani nabadilisha simu mimi na wife ili kujipongeza na kitu kipya

Kwa sasa hii haitumiki tena hivyo lazima Niuze
Sawa mkuu subiri waje.
 
Chombo bado kipo no scratch
 
Kama bado Ujapata simu
Nauza hii OPPO A15
 
ukisikia simu katumia mtoto wa kike jua hiyo imedekezwa sana
 
Oppo A15 bado ipo hiyo Redmi nishaitoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…