Computer4Sale Nauza pc yangu nmefulia

Computer4Sale Nauza pc yangu nmefulia

Humu ukisema unauza kitu automatically tutahisi umefulia

Hakukua na haja ya kujielezea hivyo

Aya, tuma mapicha tuchukue kitu
 
Mkuu iweke specifications vizuri pia na BEI na picha na pia uko wapi .mir nahitaji PC nipo mkoani
Nikupe hp probook core i3 ina 500gb na ram 3Gb ,webcam ,fingerprint ,wifi ,dvd ,sd card port ,charge 3hrs price 400k
Mkuu iweke specifications vizuri pia na BEI na picha na pia uko wapi .mir nahitaji PC nipo mkoani
Nikupe hp probook core i3 ina 500gb na ram 3Gb ,webcam ,fingerprint ,wifi ,dvd ,sd card port ,charge 3hrs price 400k
0933f2743eee6216a3e241505c0eb5b1.jpg
 
Unatakwimu za wewe kufulia?
Askofu wetu wa Lufungila aliingia matatizoni baada ya kutaka mtukufu wetu [HASHTAG]#atubu[/HASHTAG] bila kuwa na takwimu ya dhambi alizofanya kwa miaka miwili baada ya kuchukua!
 
Back
Top Bottom