INAUZWA Nauza pressure washer karcher k2 compact

INAUZWA Nauza pressure washer karcher k2 compact

The last don

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2011
Posts
1,053
Reaction score
1,232
Sold.
check bidhaa zilizopo ktk post za chini.
 

Attachments

  • 20210226_093106.jpg
    20210226_093106.jpg
    70.1 KB · Views: 19
  • 20210226_092950.jpg
    20210226_092950.jpg
    54.8 KB · Views: 20
Mkuu,inaweza kuhimili kazi kubwa (heavy duty) mfano kwenye car wash,isiwe back up bali itumike yenyewe?
 
Mkuu,inaweza kuhimili kazi kubwa (heavy duty) mfano kwenye car wash,isiwe back up bali itumike yenyewe?
kama heavy duty ikiwa na maana ya kufanya kazi continuous 24/7 ...hapana hii sio aina ya Jet washer unayoweza kuitegemea...ila kama ni home car wash au kama ni kwa kuanzia ofsi ili ujipange utafute machine kubwa unaweza kabsa kuitumia.
Kama utahitaji kubwa zaidi kwa ajiri ya full car wash office ipo mkuu nitafute
 
inawaka masaa mangapi?
Daah! swali gumu kiasi mkuu maana kwenye manual yake hawajaweka ukomo wa muda wa kutumia.Ila niko tayari kutake risk njoo kama una muda wa kutosha naweza kukuachia ukaliwasha ukae nalo hadi utapojiridhisha kwamba masaa lililowaka yanakutosha ili tupate kujifunza Karcher 2 compact pressure washer running hours ni masaa mangapi.
 
Daah! swali gumu kiasi mkuu maana kwenye manual yake hawajaweka ukomo wa muda wa kutumia.Ila niko tayari kutake risk njoo kama una muda wa kutosha naweza kukuachia ukaliwasha ukae nalo hadi utapojiridhisha kwamba masaa lililowaka yanakutosha ili tupate kujifunza Karcher 2 compact pressure washer running hours ni masaa mangapi.
poa boss ngoja tucheki mfuko, nataka nitumie kwa kuoshea bodaboda
 
Daah! swali gumu kiasi mkuu maana kwenye manual yake hawajaweka ukomo wa muda wa kutumia.Ila niko tayari kutake risk njoo kama una muda wa kutosha naweza kukuachia ukaliwasha ukae nalo hadi utapojiridhisha kwamba masaa lililowaka yanakutosha ili tupate kujifunza Karcher 2 compact pressure washer running hours ni masaa mangapi.
Nauza used Electric Jet Washer Karcher K2 compact
Specification:
Brand: Karcher
Power Supply: V/hz 240/50
Connected Load: 13A
Pressure: Max 1900KPA~~~110bar
With suction pump for detergent
Condition🙁 Used) In good working condition

Hii ni very portable but powerful car washer unaweza itumia nyumbani na kuepuka kupeleka gari Car wash,unaweza waachia watoto wakakuoshea gari,pikipiki,kusafishia madirisha ya vioo,kusafishiaa mazuliaa..kwa ujumla usafi wote wa nyumbani kwa usalama.

Au inaweza kuwa kama backup Pressure washer kwa wale wenye sehemu za kuoshea magari.
Nauza kwa bei ya shilingi laki moja tu
100,000/=.

Inapatikana Mabibo Exteno
Dar Es Salaam
0621973591

View attachment 1712155View attachment 1712156
Naona umechangamkia Fursa ya Chris Lukosi,
 
Nauza used Electric Jet Washer Karcher K2 compact
Specification:
Brand: Karcher
Power Supply: V/hz 240/50
Connected Load: 13A
Pressure: Max 1900KPA~~~110bar
With suction pump for detergent
Condition🙁 Used) In good working condition

Hii ni very portable but powerful car washer unaweza itumia nyumbani na kuepuka kupeleka gari Car wash,unaweza waachia watoto wakakuoshea gari,pikipiki,kusafishia madirisha ya vioo,kusafishiaa mazuliaa..kwa ujumla usafi wote wa nyumbani kwa usalama.

Au inaweza kuwa kama backup Pressure washer kwa wale wenye sehemu za kuoshea magari.
Nauza kwa bei ya shilingi laki moja tu
100,000/=.

Inapatikana Mabibo Exteno
Dar Es Salaam
0621973591

Wakuu Asanteni ,Hii Jet washer imeshauzwa.

Nauza used Electric Jet Washer Karcher K2 compact
Specification:
Brand: Karcher
Power Supply: V/hz 240/50
Connected Load: 13A
Pressure: Max 1900KPA~~~110bar
With suction pump for detergent
Condition🙁 Used) In good working condition

Hii ni very portable but powerful car washer unaweza itumia nyumbani na kuepuka kupeleka gari Car wash,unaweza waachia watoto wakakuoshea gari,pikipiki,kusafishia madirisha ya vioo,kusafishiaa mazuliaa..kwa ujumla usafi wote wa nyumbani kwa usalama.

Au inaweza kuwa kama backup Pressure washer kwa wale wenye sehemu za kuoshea magari.
Nauza kwa bei ya shilingi laki moja tu
100,000/=.

Inapatikana Mabibo Exteno
Dar Es Salaam
0621973591

View attachment 1712155View attachment 1712156
Wakuu asanteni,hii KARCHER COMPACT JET WASHER imeshauzwa.
Kuna Jet washer kubwa nitazipost pia ziko sokoni kwa haraka mwenye uhitaji na kuja kuziona anaweza nicheki kwa namba hii 0621973591
 
sold
 

Attachments

  • 20210313_120340.jpg
    20210313_120340.jpg
    58 KB · Views: 18
  • JPEG_20210313_121345_2247121017146006850.jpg
    JPEG_20210313_121345_2247121017146006850.jpg
    60.3 KB · Views: 16
Nauza used Electric Jet Washer Karcher K2 compact
Specification:
Brand: Karcher
Power Supply: V/hz 240/50
Connected Load: 13A
Pressure: Max 1900KPA~~~110bar
With suction pump for detergent
Condition🙁 Used) In good working condition

Hii ni very portable but powerful car washer unaweza itumia nyumbani na kuepuka kupeleka gari Car wash,unaweza waachia watoto wakakuoshea gari,pikipiki,kusafishia madirisha ya vioo,kusafishiaa mazuliaa..kwa ujumla usafi wote wa nyumbani kwa usalama.

Au inaweza kuwa kama backup Pressure washer kwa wale wenye sehemu za kuoshea magari.
Nauza kwa bei ya shilingi laki moja tu
100,000/=.

Inapatikana Mabibo Exteno
Dar Es Salaam
0621973591

View attachment 1712155View attachment 1712156
Bado ipo?
 
Pia Wakuu Low Power Microwave Oven zinapatikana kwa very resonable price
nicheki kwa namba hii 0621973591.
kumbuka hizi ni Microwave + Oven
so unaweza fanyia baking pia.
Iwapo utahitaji Microwave peke ake pia zipo
 
Sample za Microwave and Oven
ziko nyingi mno kila mtu anapata
Unaweza chemshia viazi,kupika pizza,mikate,kuokea kuku,samaki etc kwa umeme mdogo kabisa...
kwa mwenye hofu na matumizi ya umeme ya hivi vifaa atafanyiwa demostration.
bei inaanzia elfu tisini 90,000 na kuendelea.
Piga simu namba 0621973591
Unaweza fanyiwa delivery pia.
20210313_174307.jpg
20210313_174249.jpg
20210313_114627.jpg
20210313_130704.jpg
20210312_212619.jpg
IMG-20210313-WA0018.jpg
 
Kwa Wajasiamali watengenezaji wa keki kuna Bosch Oven yenye Ujazo wa lita 30...unaweza ingiza mbuzi mzima humo akaiva...Tengenezea Keki,au Mikate ...ipo inapatikana kwa bei ya 270K with free delivery popote ndani ya Mkoa wa Dar Es Salaam.
IMG-20210313-WA0161.jpg
20210313_201447.jpg
 

Attachments

  • 20210313_201648.jpg
    20210313_201648.jpg
    28.1 KB · Views: 14
Back
Top Bottom