Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Receipt uliyonunulia unayo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Negative.Receipt uliyonunulia unayo mkuu
Nimekusoma sana mkuu,kiukweli kama kijana nimepigika lakini hapa hapanaMchimba Chumvi
Hiyo simu nataka nikampe demu flani zawadi so, Nikipindi kigumu hiyo 300k natoka kwa tabu coz najua umuhimu wa huyo "she"
Labda nikulipie nauli popote ulipo
Niongeze ngapi hapo mpo mzeeNimekusoma sana mkuu,kiukweli kama kijana nimepigika lakini hapa hapana
Unasemaje? Yaani 100k uchukue s8?Toa 100k nilipie
Emaphakadeni
Nimesema punguza 100kUnasemaje? Yaani 100k uchukue s8?
Anyway wakuu shukrani kwa uongozi wa jf nimeona nguvu ya jf.
Yaani mmeniinua sana wakuu[emoji120]
Unajua anazo smart phone ngapi?Ameshindwa kufikiri nje ya box kwa hiyo mpe ABC nini cha kufanya walau apate japo mwangaza aone mbele mkuu...!
Nishaiuza mkuu mkuu kwa mzee mmoja hivi humu 400kNimesema punguza 100k
Emaphakadeni
Sawa kakaNishaiuza mkuu mkuu kwa mzee mmoja hivi humu 400k