Desert water
Member
- Oct 20, 2011
- 8
- 2
Poleni kwa majukumu ndugu zangu, ninauza shamba langu ukubwa wa heka 1.5 kwa Tsh. 2,500,000/=
Shamba liko Bomang'ombe karibu na kituo cha Kwa kiliwe kama unaelekea Moshi, shamba ni langu mwenyewe ninazo hati zote za mauziano na za serikali ya kijjiji, mama yangu anaumwa mteja wa haraka anipigie au SMS 0757620622.
NB shamba linafaa kwa mazao ya aina zote.
Shamba liko Bomang'ombe karibu na kituo cha Kwa kiliwe kama unaelekea Moshi, shamba ni langu mwenyewe ninazo hati zote za mauziano na za serikali ya kijjiji, mama yangu anaumwa mteja wa haraka anipigie au SMS 0757620622.
NB shamba linafaa kwa mazao ya aina zote.