Plot4Sale Nauza shamba (Pori) lipo Chanika

meenah90

Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
33
Reaction score
16
Shamba (pori) Heka 2 kwa bei ya Milioni 2 Na Nusu linauzwa halijawahi kufyekwa, lipo chanika msanga zalala maji chumvi Lina rutba zote na Lina Hati miliki me mwenyewe muhusika na sio dalali kwa mawasiliano nipigie.
no 0718343299


 
Ni kilom2ta ngapi kutoka barabara kuu?

Kuna barabara inafika shambani?
 
Sijui kama shamba litakuepo maana bei ni nafuu MNO tena ekari mbili....kama unayo ni Bora kulichukua.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…