kwani unakereka
Member
- Oct 16, 2018
- 7
- 12
Shamba liko mvuti ni ekari saba ila zinazouzwa ni ekari nne tu
::mvuti dondwe linapakana na magereza ya dondwe kwa upande wa kaskazini na upande wa mashariki linapakana na shamba la kanari kiwango huyu mwenye kiwango security.
::Limepimwa ramani ya halmashauri inaonyesha ni eneo la makazi na ndani ya shamba kuna viwanja kadhaa.
::usalama upo wapo jirani wanaoishi hapo shamba nawatumia kwa kulilinda na kunipa taarifa mbalimbali
::maji yapo na umeme upo jirani na barabara inafika hadi shamba na inapitika muda wote
::bei ni milioni 3.5 na nusu kwa each ekari
::haina dalali mimi ndio mmiliki
##kwenda kuliona ni wakati wowote
##0765 37 20 61
::mvuti dondwe linapakana na magereza ya dondwe kwa upande wa kaskazini na upande wa mashariki linapakana na shamba la kanari kiwango huyu mwenye kiwango security.
::Limepimwa ramani ya halmashauri inaonyesha ni eneo la makazi na ndani ya shamba kuna viwanja kadhaa.
::usalama upo wapo jirani wanaoishi hapo shamba nawatumia kwa kulilinda na kunipa taarifa mbalimbali
::maji yapo na umeme upo jirani na barabara inafika hadi shamba na inapitika muda wote
::bei ni milioni 3.5 na nusu kwa each ekari
::haina dalali mimi ndio mmiliki
##kwenda kuliona ni wakati wowote
##0765 37 20 61