Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila watu hampo siriaz na biashara za wenzenu...😂😂😂Chukua 62,000/-
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ona sasaNgoja nikupigie nikutongoze ,jiandae kabisa Sina shida ya simu .
Kaa mkao kabisa
Haya nimaajabuChukua elfu 15
Waliivalisha shela?Mimi niliinunua 450000 kiongozi bei inaongeleka maana simu NI mpya kabisa kabisa yaani iko kwenye boks
Kwann tena madamIla watu hampo siriaz na biashara za wenzenu...😂😂😂
Na tumeshapata na ananipenda ,ahsante mjomba @Maxenco Melo🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ona sasa
😃😃Hongera mkuu,harusi lini Sasa?Na tumeshapata na ananipenda ,ahsante mjomba @Maxen
😃😃Hongera mkuu,harusi lini sasaNa tumeshapata na ananipenda ,ahsante mjomba @Maxen
Si naona umeamua umpe na nyongeza ya pesa aloitajaKwann tena madam
Mh kuoa kabisa ? Hapana bwana hayo siwezi Mimi bado mdogo dada.😃😃Hongera mkuu,harusi lini sasa
Si naona umeamua umpe na nyongeza ya pesa aloitaja
kubwa hiyo, achukue afutatuChukua elfu 15
mama nancy, ungeweka na kapicha basi ka hiyo Infinix yako. Si unajua tena hii Januari ina mambo mengi! Ada ya watoto, vicoba, kausha damu! Yaani ni mivurugano tu.Nauza simu Aina
Infinix hot 40 pro
GB 256
Ram 16
Hahaha aah ndo team kataa ndoa nilisahau...Mh kuoa kabisa ? Hapana bwana hayo siwezi Mimi bado mdogo dada.
Chukua 200k leo hii tumalize biashara.Mimi niliinunua 450000 kiongozi bei inaongeleka maana simu NI mpya kabisa kabisa yaani iko kwenye boks
Mbona nimekupigia hupokei? Kuna laki hapa iko kwenye mfuko wa shati.0746102336 nicheki
infinix ni kampuni dannyPunguza bei, milioni tatu afu simu yenyewe infinix?
Bora ya shela unaishangaa hii badala ukashangae ya M1.95 😄😄😄😄😄 we sema mm sina ela maneno mengi ya nini jamaniWaliivalisha shela?
mama nancy, ungeweka na kapicha basi ka hiyo Infinix yako. Si unajua tena hii Januari ina mambo mengi! Ada ya watoto, vicoba, kausha damu! Yaani ni mivurugano tu.