Nauza simu iphone X gb 64 350,000

Nauza simu iphone X gb 64 350,000

Hio kwa.mtu wa sales na Marketing ni utapeli

Ukiwa unauza bidhaa weka kitu halisi, kwa hio Iphone X ulipaswa uieke yenyewe kama yenyewe na kutoa hayo mastika

Mpaka hapo ni ngumu mtu kukuamini

Sijakulazimisha kununua mkuu.. sim ipo full document
 
Umeitumia muda gani? Kama ni zaidi ya miezi sita hilo battery lako ni mchongo
 
Samsung a10s haina shida ..nadaiwa kodi hapa...150000 piga simu 0627474141
 
Mkuu humu wanaitamani sema hawana hela. Umasikini unaturudisha sana nyuma. Makelele yote hayo but very poor
 
Back
Top Bottom