Phone4Sale Nauza simu mpya Samsung galaxy A04s

Phone4Sale Nauza simu mpya Samsung galaxy A04s

Hii simu (Samsung galaxy A04s) ni brand new kutoka dukani nimeitumia miezi 3. Naiuza kwa 300,000 tu! Maongezi yapo. Storage ni GB 128. Memory Ram 4Gb. Ni simu ya kisasa unaweza upgrade kwa mfumo wowote wa kisasa. Sasa hivi ina Android 14.
Niko Dar es Salaam maeneo ya Mbezi mwisho ya kimara! Nyaraka za uhalali wa umiliki ninazo. Mawasiliano njoo inbox kama unaitaka!
Njoo inbox
 
Hii simu (Samsung galaxy A04s) ni brand new kutoka dukani nimeitumia miezi 3. Naiuza kwa 300,000 tu! Maongezi yapo. Storage ni GB 128. Memory Ram 4Gb. Ni simu ya kisasa unaweza upgrade kwa mfumo wowote wa kisasa. Sasa hivi ina Android 14.
Niko Dar es Salaam maeneo ya Mbezi mwisho ya kimara! Nyaraka za uhalali wa umiliki ninazo. Mawasiliano njoo inbox kama unaitaka!
Ni used phone in good condition, siyo brand new.
 
Back
Top Bottom