Atlast nimempata
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 386
- 680
- Thread starter
-
- #41
Niko Dar! Njoo uione kama huko interestedSimu haiwezi kuwa brand new alafu ikawa imetumika miezi mitatu. Mambo mengine sisemi ni biashara huria hii, ila hiyo statement ina mkanganyiko.
Na utakuwa mkoani wewe
umeanza😅Mkuu.
Samahani,, simu ya miezi mi3 protector inamichubuko. Cover la nyuma.
Nakuomba, jitahidi kuwa mtunzaji.
Kidogo nizame inbox baada ya kuona picha ya mkono, nikakumbuka wahenga walisema mvumilivu hula mbivu.Nimeangalia avatar nikaangalia na hiyo simu. Big NO
Kwahiyo shida yako haikuwa simu!Kidogo nizame inbox baada ya kuona picha ya mkono, nikakumbuka wahenga walisema mvumilivu hula mbivu.
Nakuja ila punguza kidogo tuyajenge mwamba.Kwahiyo shida yako haikuwa simu!
Acha basi hizo we pitia pitia kidogo we huoni hata mada biashara imebadilika?Dhambi hipi?
NjooNakuja ila punguza kidogo tuyajenge mwamba.
Mkono ume trend kuliko simu😅Mada ikahamia kwenye mikono 🤣🤣🤣
Sijui, sielewi. Sa mtu unakuwaje sio mtunzaji. Uwa inanikata sana. Nikikukuta umepasua pasua nakuchana 😌umeanza😅
sasa protector si inatolewa tu kitu piru hiyo lamama
naona unashinda na mason, jiangalie inaanza unadhani nampenda basi ,baadae unakolea mtajikuta wote mnaongozana sokoni
Out of context!naona unashinda na mason, jiangalie inaanza unadhani nampenda basi ,baadae unakolea mtajikuta wote mnaongozana sokoni
Raia,tunajua fundi kumbe mkwangua kipochi