chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
AiseeπMkuu ukifanikiwa kuiuza ununue mafuta ya kupaka.
Anapigwa.Sasa Jeremiah kwa nini umeweka picha ya demu?
Huna watoto wadogo?Sijui, sielewi. Sa mtu unakuwaje sio mtunzaji. Uwa inanikata sana. Nikikukuta umepasua pasua nakuchana π
Mimi simu yangu haina protector.. na haina clerk yoyote.
Ninao⦠twins,, na wako umri wa heka heka za ukuaji. Lakini vitu vyote viko organizedHuna watoto wadogo?
Au wa Lamomy ???Nilimpa mtu anishikie wakati naipiga picha! ππ π lakini nyie??
kuna wanaume wanashangaa huo mkono,,π
Aje nani? Mkono huo?Wee njoo nikuonyeshe chombo utaipenda! Maongezi ni baada ya kuiona!
kwano kuno shidoImekuaje pis kali mkono wa Idi amini dada? Jf nasemaga wanawake wanne tu
NAKAZIAHuo mkono ni wako? Samahani lakini
Mkono huu Ms R mbona kama gerej hii?kwano kuno shido
Watu hawataona picha ya zomu...
Mmmmbwa wewe nimecheka sansImekuaje pis kali mkono wa Idi amini dada? Jf nasemaga wanawake wanne tu
πππ€£π€£πππNilitegemea Swali HiloHuo mkono ni wako? Samahani lakini
Sasa si tunafanya kazi yoyote saivi wajameni,kazi ni kazi 50/50Mkono huu Ms R mbona kama gerej hii?
π€£π€£π€£π€£π€£Imekuaje pis kali mkono wa Idi amini dada? Jf nasemaga wanawake wanne tu