Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utawezaje kuniamini nikikupa nusu?Wakuu habari za weekend
Ninauza simu yangu ya Samsung S8 Plus.
Bei elekezi ni 300K (Haipungui)
NB: Kama mtu yupo serious na mwaminifu, anaweza toa nusu, nikamkabidhi simu, aitumie wiki moja then amalizie kiasi kilichobaki
Location : Dar Es Salaam
Karibuni
View attachment 2092906
View attachment 2092910
Mkuu niuzie kioo hichoWakuu habari za weekend
Ninauza simu yangu ya Samsung S8 Plus.
Bei elekezi ni 300K (Haipungui)
NB: Kama mtu yupo serious na mwaminifu, anaweza toa nusu, nikamkabidhi simu, aitumie wiki moja then amalizie kiasi kilichobaki
Location : Dar Es Salaam
Karibuni
View attachment 2092906
View attachment 2092910
Inaingia line ngapi?Wakuu habari za weekend
Ninauza simu yangu ya Samsung S8 Plus.
Bei elekezi ni 300K
NB: Kama mtu yupo serious na mwaminifu, anaweza toa nusu, nikamkabidhi simu, aitumie wiki moja then amalizie kiasi kilichobaki
Location : Dar Es Salaam
Karibuni
------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Updates:
Baada ya kuona wadau (USAWA) hela imekuwa ngumu, nimeshusha kwa kiwango cha rami mpaka 200K
Note: Deadline ya offer hii ni Feb 10 full stop
Karibuni
View attachment 2092910
Mimi sijawahi kuona Samsung ya line mbiliInaingia line ngapi?
Samsung ikiwa line mbili ujue ni fake from China huwa zinapitia Dubai then kuja kwetu.Mimi sijawahi kuona Samsung ya line mbili
Aisee bado ipo ?Wakuu habari za weekend
Ninauza simu yangu ya Samsung S8 Plus.
Bei elekezi ni 300K
NB: Kama mtu yupo serious na mwaminifu, anaweza toa nusu, nikamkabidhi simu, aitumie wiki moja then amalizie kiasi kilichobaki
Location : Dar Es Salaam
Karibuni
------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Updates:
Baada ya kuona wadau (USAWA) hela imekuwa ngumu, nimeshusha kwa kiwango cha rami mpaka 200K
Note: Deadline ya offer hii ni Feb 10 full stop
Karibuni
View attachment 2092910
Kwani Samsung Duos ilitoka china?Samsung ikiwa line mbili ujue ni fake from China huwa zinapitia Dubai then kuja kwetu.
Samsung wenyewe hawana line mbili
Made in wapi hiyo? China au Dubai?Kwani Samsung Duos ilitoka china?
Mimi ninayo Samsung S7 edge, ni line mbili na hiyo sehemu ya kuweka line ya pili unaweza weka Memory Card
View attachment 2114420
Uk.Made in wapi hiyo? China au Dubai?
Ipo freshGomz
Jibu hili swali mkuu tuje na cash 200kVipi kuhusu RAM na storage yake