Jo Assistant
Senior Member
- Jun 20, 2014
- 195
- 199
- Thread starter
-
- #21
Dah! 😢 Nilijua upo tayari madam! Halafu kuna vitu vingi vya ku'set ujue... Accounts Backup, 2FA kwenye social media accounts, kuweka modded apps, and more. Tungeonana ungenielewa vizuri. Bei ni fair, na kwa uwezo wako inaonekana unaweza kumnunulia hata mtoto/ndugu yako. Ni'PM ili unitajie una Shs. ngapi nikuachie S8 a.s.a.paIla wewe dogo unafurahisha😆..kipi kigeni kuset hizo ishu? hhaaah...sina shida ya simu ila nimeshangaa bei na ukimeo wake
Hivi unafikiri hii simu imekufa mpaka nikuuzie kwa hiyo bei? Dau lako dogo sana.Chukua 80,000 kesho njo nayo apa simu2000
Mimi nipo hapa natafuta riziki halali halafu mtu anakuja makusudi kunichafulia thread yangu, hivi ungejisikiaje kama ungekuwa mimi?Aloo watu mmechanganyikiwa tayari [emoji23][emoji23]
Kadri matoleo mapya yanavyoendelea kutoka kuna baadhi ya vifaa vya matoleo ya zamani vinazidi kuwa adimu. Ningekusaidia ila kwa sasa bado sifahamu wanapouza kioo original cha simu hii.Natafuta kioo cha hiyo simu sana
Bado madam...i hope ushauza mkuu✋
Nimeshatoa updates. Rejea mwanzoni.
Dau lako ni dogo ndugu. Ila tunaweza tuka'negotiate kama bado unahitaji simu.100K
Angalia updates. Chaja utapata bure pia ukinunua simu.kwahiyo chaja sio bure tena?