Nipo Dar es salaam bosi. Karibu inbox Kwa mawasiliano. Bei ni laki Moja(100,000/=)weka mawasiliano
na mkoa ulipo
Marejesho ni kwa siku au?Nipo Dar es salaam bosi. Karibu inbox Kwa mawasiliano. Bei ni laki Moja(100,000/=)
Marejesho yake ni tarehe 20 ya kila mwezi Kwa miezi mitatu iliyobakiMarejesho ni kwa siku au?
Na ni kiasi gani?
Picha inakuwa ngumu kupiga bosi maana Sina simu nyingine pembeni. Ila ipo katika Hali nzuri kabisa. Haina tatizo lolote hata chembe. Ina Hali ya upya kabisa.Weka bei na izingatie makato ya mkopo.
Weka location na picha
Karibu, inbox ulipo na mawasiliano nikufuateNinaichukua
Marejesho yaliyobaki ni Sh ngapi?Nipo Dar es salaam bosi. Karibu inbox Kwa mawasiliano. Bei ni laki Moja(100,000/=)
Sh ngapi kila mwezi?Marejesho yake ni tarehe 20 ya kila mwezi Kwa miezi mitatu iliyobaki
Piga 27560 Kwa mwezi mara tatumarejesho yaliyobaki ni Sh ngapi?
Elfu 27,560Sh ngapi kila mwezi?
Half American, niokoe hapa bosi.Weka bei na izingatie makato ya mkopo.
Weka location na picha
Mimi ndio nipige au sio..Piga 27560 Kwa mwezi mara tatu
Yeah, Fanya hivyo mkuumimi ndio nipige au sio..
Avatar yako sijaielewa duuuh wemende?Ninaichukua
Nimeuliza kwa faida ya watakaokuwa interested mkuu sio mteja. Pole kwa changamoto.Half American,,,niokoe hapa bosi.