Frankdaniel711
JF-Expert Member
- Oct 8, 2018
- 366
- 140
Habari Nina sofa naziuza LA MTU 1, 2 ,3 nauza zote kwa laki 600,000 maongezi yapo njoo na usafiri wako ubebe nipo viwege dar es salaam, ili kufika viwege kwa mtu yoyote yule anae tokea kokote kule anatakiwa apitia nyerere load na anyoshe moja kwa moja hadi Gongo la Mboto.
Hapo kuna kituo cha magari ya viwege safari inaendelea baada ya kutoka gongo la mboto kuna kituo kinaitwa mwisho wa lami unapita kwa mbele kuna kituo kinaitwa pugu secondary hapo hapo unaingia upande wa kushoto unanyosha moja kwa moja utapia kituo cha majoe na kinacho fata ni viwege utakuwa umeshafika sio mbali KAMA BADO UPAJUI NJOO HADI GONGO LA MBOTO MIMI NITAKUJA HAPO TUTAENDA WOTE VIWEGE 0677423349 na kama kuna mtu anaitaji sofa moja pia naomba tuwasiliane Asante sana
Hapo kuna kituo cha magari ya viwege safari inaendelea baada ya kutoka gongo la mboto kuna kituo kinaitwa mwisho wa lami unapita kwa mbele kuna kituo kinaitwa pugu secondary hapo hapo unaingia upande wa kushoto unanyosha moja kwa moja utapia kituo cha majoe na kinacho fata ni viwege utakuwa umeshafika sio mbali KAMA BADO UPAJUI NJOO HADI GONGO LA MBOTO MIMI NITAKUJA HAPO TUTAENDA WOTE VIWEGE 0677423349 na kama kuna mtu anaitaji sofa moja pia naomba tuwasiliane Asante sana