Nauza spea used za magari haya kwenye picha
WhatsApp 0712 148001
20250120_141308.jpg
 
Zote hizo ni gari zimekatwa, mpaka za ndege 😄🤣
Huu ni mnoma sasa ngoja nikupe ushauri kdg wa kupata wateja chap, kila unapopita around jijini chukua namba za mafundi garage, alafu wao watakua wanakuchek ww maana kiuhalisia wao ndio wahitaji na washauri wa spea kwa wenye magari ukiwa na namba za garages 200 tu mzee utanishukuru baadae
 
WhatsApp 0712 148001
MASSAWE STAUT HIYO
20250120_141425.jpg
 
Huu ni mnoma sasa ngoja nikupe ushauri kdg wa kupata wateja chap, kila unapopita around jijini chukua namba za mafundi garage, alafu wao watakua wanakuchek ww maana kiuhalisia wao ndio wahitaji na washauri wa spea kwa wenye magari ukiwa na namba za garages 200 tu mzee utanishukuru baadae
Asante kwa ushauri mkuu.
 
Boss natafuta taa ya mbele kulia ya gari hii hapa👇
 

Attachments

  • IMG_20250129_082247.JPG
    IMG_20250129_082247.JPG
    1 MB · Views: 3
  • IMG_20250129_082652.JPG
    IMG_20250129_082652.JPG
    1.4 MB · Views: 3
WhatsApp 0712 148001
Compressor hiyo, dar jua kali jamani joto balaa
IMG-20250121-WA0024.jpg
 
Back
Top Bottom