Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni mnoma sasa ngoja nikupe ushauri kdg wa kupata wateja chap, kila unapopita around jijini chukua namba za mafundi garage, alafu wao watakua wanakuchek ww maana kiuhalisia wao ndio wahitaji na washauri wa spea kwa wenye magari ukiwa na namba za garages 200 tu mzee utanishukuru baadaeZote hizo ni gari zimekatwa, mpaka za ndege 😄🤣
Asante kwa ushauri mkuu.Huu ni mnoma sasa ngoja nikupe ushauri kdg wa kupata wateja chap, kila unapopita around jijini chukua namba za mafundi garage, alafu wao watakua wanakuchek ww maana kiuhalisia wao ndio wahitaji na washauri wa spea kwa wenye magari ukiwa na namba za garages 200 tu mzee utanishukuru baadae
Pamoja Mkuu tuishi humoAsante kwa ushauri mkuu.
Natafuta gari starlet kwa ajili ya taxANGALIA PICHA ya gari yako unichek kwa hitaji la spea.
WhatsApp 0712 148001.
Pia nanunua magari chakavu .
Ukiniunganisha nikanunua gari posho MLIMA.
Pia nitakua natoa vocha mara moja moja kwenye uzi huu.(simu ziite jamani).
Mods uzi usiunganishwe.
View attachment 3068407View attachment 3068408View attachment 3068409