- Thread starter
- #21
Mkuu sina matumizi navyo kwa sasa ila pia nina changamoto flan nataka nitatue ndio maana pia kiwanja nauza kwa bei ya kutupa. (kwenye post nyingine)Unahamia wapi mkuuu!! Make naona mjini kumekaza sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sina matumizi navyo kwa sasa ila pia nina changamoto flan nataka nitatue ndio maana pia kiwanja nauza kwa bei ya kutupa. (kwenye post nyingine)Unahamia wapi mkuuu!! Make naona mjini kumekaza sasa
Njoo uchukue kwa 80,000 mkuu. Ni dude la maana sana mkuu!Mkuu Mimi nahitaji hiyo TV chogo ila sababu ina tatizo na sijui kuitengeneza ngapi pokea 50k
Nimeipenda hii decoder mkuu...uko wapiMkuu ya mwaka gani siwezi kujibu ila angalia zaid picha hii unaweza fahamu zaidi.
View attachment 618540
Mtoni Kijichi- DsmNimeipenda hii decoder mkuu...uko wapi
Kwenye kichwa cha habari kaandika vifaa vya magari halafu kataja hadi Niko.Vyote hivyo ni vifaa vya gari au...
Mkuu hilo ni dish pekeeHicho kig'amuzi cha azam nakitaka
Kifupi Mara ya mwisho ilivyotumika ilizima ghafla na haikuwaka tena, so Fundi alivyokuja kuicheck akasema shida ni transformer. Haikuwahi kurekebishwa tena!Mkuu hiyo TV umesema inatatizo la transformer. Labda ungesema ndo inafanyaje, haionyeshi kabisa au ndo inakuwaje.
OK, mkuu 50 nakupaKifupi Mara ya mwisho ilivyotumika ilizima ghafla na haikuwaka tena, so Fundi alivyokuja kuicheck akasema shida ni transformer. Haikuwahi kurekebishwa tena!
Ongeza mpaka 80 mkuu.OK, mkuu 50 nakupa
Min 25 mkuu. Nilinunua kwa 45k kila moja na zilitumika kama mwezi na nusu tu.Pokea 15 kwa feni 1
Mkuu, hiyo sinaOngeza mpaka 80 mkuu.