Nauza Starlet Carat

Nauza Starlet Carat

Mchaga

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
1,378
Reaction score
206
Wakuu nauza starlet carat ya mwaka 1998 kutoka Japan imetembea klm 80,000.

eng. capacity 1300, imelipiwa ushuru na gharama nyingine.

nimetumia peke yangu for two years.

Anayehitaji anitumie email tufanye mawasiliano.
 
SAWA KAKA,NAOMBA UCHUKUE HII EMAIL YANGU KISHA TUWASILIANE,mgalulamasoudlyobah@yahoo.com.
Wakuu nauza starlet carat ya mwaka 1998 kutoka Japan imetembea klm 80,000.

eng. capacity 1300, imelipiwa ushuru na gharama nyingine.

nimetumia peke yangu for two years.

Anayehitaji anitumie email tufanye mawasiliano.
 
Wakuu nauza starlet carat ya mwaka 1998 kutoka Japan imetembea klm 80,000.

eng. capacity 1300, imelipiwa ushuru na gharama nyingine.

nimetumia peke yangu for two years.

Anayehitaji anitumie email tufanye mawasiliano.
BEI SHILLINGI NGAPI ? wewe email zetu za nini, ? au umetumwa utupeleleze. weka mambo hadharani, humu tunaongea kwa uwazi.
 
BEI SHILLINGI NGAPI ? wewe email zetu za nini, ? au umetumwa utupeleleze. weka mambo hadharani, humu tunaongea kwa uwazi.
usitumie vibaya fursa yako ya uhuru wa kujieleza, haya unayozungumza yanatoka wapi? haya bei ni 5.5 mln
 
weka picha hapa tuione,sio mbuzi kwenye gunia
 
hahahahahahahahaha
nacheka jina la kunambi hahahaha
sounds so fun.

anyway mkuu muuza gari naomba uitetee bei yako ya 5.5 milion kwani naona wabongo mkishajifunza kutamka bei huwa hamuweki wazi why that price. pls itetee ili nijue ni-burgain au nikimbie (yote haya kwa kuwa hujaweka pichaz)
 
Back
Top Bottom