BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,079
- 2,152
Mwanga ni deem light mkuu ni mwanga fulani unaoshawishi mbu kuwa karibu na taaHao Mbu wasipoenda kwenye taa maana yake wanaendelea kukutafuna tu[emoji28], au kuna kitu kinawavuta kufata hiyo taa??
Wanakufa mkuu kifaa kinatoa shot mbu wanakaushwa kama mishikakiKwa mbu wetu hapa tanganyika kweli watakufa? Kiongozi.
Asante
Ya direct kwa sasa sina mkuuHaiwezi tumika direct kwenye umeme.yaani moja kwa moja kwenye soketi.
Dodoma mpo?Mbu wanakauka kaukau
Hapana mkuuDodoma mpo?
Mzee picha hazionekani.Watu wa camp hizi Lamp zitawasaidia sana