Car4Sale Nauza Toyota Rumion

Car4Sale Nauza Toyota Rumion

Ukiona mtu anakuwa mbogo kwenye biashara yake jua kuna tatizo.

Kasema imechubuliwa kidogo ubavuni picha haionyeshi marekebisho ya roof hatuoni watu wanatafuta thamani halisi ya gari dalali unawaka ili nn sasa nyie ndio wale mtu amakagua gari unaanza kumpangia hiki hapana speed punguza milio kibao..... Mkuu jitahidi udalalie gari za kueleweka mbali na hapo jifunze kutabasamu hata kama mtu kakukwaza na maoni yake biashara haitaki hasira........ 16m unavuta rumion kaliii isiyotaka marekebisho yoyote sasa kwann mtu aje kununua hiyo iliogongwa na mdada full kupigwa pasi
Umempa ushauri mzuri sana mkuu
 
Back
Top Bottom