dikir kab can
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 1,499
- 2,667
umeona mbali sana, sponsor ajitokeze.Tangazo limekaa kitaalam, ngoja waje!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeona mbali sana, sponsor ajitokeze.Tangazo limekaa kitaalam, ngoja waje!
Nipo mbezi makabePole sana mpendwa huko wapi kama hupo maeneo ya mabibo njo pm nikupe karai bure kabisa japo ni dogo unaweza kuanzia.
Asante Rafik nipo dar mbezi naomb no basiPole sana mpendwa huko wapi kama hupo maeneo ya mabibo njo pm nikupe karai bure kabisa japo ni dogo unaweza kuanzia.
Nipo dar mbezi Natak nilip Kodi 60 nyingine nianze biasharaPole sana mama ,uko wapi ? Je mwenye kuhitaji TV akupate kwa namba gani ?
Hiyo biashara umeifanyia uchunguzi unahisi maeneo unakoipeleka itapokelewa vyema ?
Pole sana mama ,natamani niwe na majukumu Kama yako ,yaani nione watoto wananidai kula ,kulala na kusoma ila Mungu mwema ,amini yatakaa sawa
Sawa asantejamila nicheki whatsapp +255772225555
Mkuu wangu Ngurukia habari yako, kuna comment moja nimeisoma ya kwako inahusu cheti cha ndoa na mimi kuna shida ninayo... kama hutojali njoo pm tuwasiliane.relax chief, ilikuwa ni utani tu. Sorry kama imekukera.
Pole. Mwenyenzi Mungu akufanyie wepesiNi mama nawatt wawili ninamiaka 30 ..kitu cha thamani nilichobaki nacho Ni iyo TV Tu sasa naiuza niweze kufanya biashara Na kulipa kodi naamin Mungu ataniwezesha ntanunua bdae mambo yaikaa Sawa Bora nifanye biashara watt wangu wapate kuingiza chochte kitu mdomoni ..
Nauza laki moja Tu nahitaj kuanzisha biashara ya kuchoka mihogo ninunue vifaa vya biashara naombeni mnunue iyo TV Ni nchi 24 watt awaelew Kama Sina kitu niokoleen jahazi
Sina msaada Bora niuze Mali yangu Halali
Nielekeze unapoishi nije kumuona handsomeHaha haaa mimi ninae tayari nina kahandsome miaka miwili, japo ni single mother lakini namshukuru sana Mungu sina kikubwa ila angalau njia ya chooni tunaiona. hivyo naelewa anachopitia jamila ndo maana nataka nimpe karai make lipo tu halina kazi anaweza chukua akaanzia.
Uishi sana. 🥂Pole sana mpendwa huko wapi kama hupo maeneo ya mabibo njo pm nikupe karai bure kabisa japo ni dogo unaweza kuanzia.
Haha karibu sanaNielekeze unapoishi nije kumuona handsome
Amen japo mhusika na kumpa mawasiliano yangu hajatokeaUishi sana. 🥂
Tumpe muda, inaelekea sio mtumiaji sana wa JFAmen japo mhusika na kumpa mawasiliano yangu hajatokea
Nipe mimi mawasiliano 😔Amen japo mhusika na kumpa mawasiliano yangu hajatokea
yawezekana. Mungu ampiganie alipoTumpe muda, inaelekea sio mtumiaji sana wa JF
chukua😛Nipe mimi mawasiliano 😔
Dah usinifanyie hivi jamanichukua😛