Nauza unga wa mbegu za maboga (Pumpkin Seed Flour). - Arusha

Nauza unga wa mbegu za maboga (Pumpkin Seed Flour). - Arusha

Kiazi Kitamu

Senior Member
Joined
Feb 16, 2013
Posts
122
Reaction score
126
Karibuni nauza Unga wa Mbegu za Maboga Pure 100% haujachanganywa na chochote.

Unga huu una faida kemkem kwa afya zetu na kwa umri wowote. Kama vile umsaidia Mama anayenyonyesha Kuongeza maziwa, kinga na dawa bora dhidi ya Kisukari na Shinikizo la Damu, kinga dhidi ya tezi dume n.k

Bei ni Sh.4,000 kwa robo kilo na Bei ya jumla ni Sh. 3,500.
Napatikana Arusha kwa namba zifuatazo:

Call 0693100453
WhatsApp 0765894955*
Screenshot_20200625-045313~2.png
IMG_20200628_081444_9.jpg
Screenshot_20200628-064102~2.png
 
Hongera sana kiongozi nimekua nikiutafuta sana huu unga aisee ila ni kwa matumizi yangu ya nyumbani tu sio kibiashara veep nikituma hela unaweza nitumia kwa njia ya posta nikaupokea huku niliko.
 
Naomba unicheki kupitia namba 0693100453
Hongera sana kiongozi nimekua nikiutafuta sana huu unga aisee ila ni kwa matumizi yangu ya nyumbani tu sio kibiashara veep nikituma hela unaweza nitumia kwa njia ya posta nikaupokea huku niliko.
 
Back
Top Bottom