INAUZWA Nauza used Freezer ndogo ya Hotpoint nimepunguza bei hadi 170,000 tu

INAUZWA Nauza used Freezer ndogo ya Hotpoint nimepunguza bei hadi 170,000 tu

kilanio

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
221
Reaction score
69
Iko vizur Sana inapoza ndan muda mfupi na haitumii umeme mwing,
Nauza kwa kua ninahamia mkoani kikaz, napatikana kitunda-kivule dsm


Contact:0627288599
 

Attachments

  • tmp-cam-1629074124.jpg
    tmp-cam-1629074124.jpg
    11.2 KB · Views: 164
  • tmp-cam--1612374323.jpg
    tmp-cam--1612374323.jpg
    19.6 KB · Views: 167
  • tmp-cam--1933341872.jpg
    tmp-cam--1933341872.jpg
    10.2 KB · Views: 146
Picha tayari nimewaziweka, karibuni wadau, mazungumzo yapo kidogoo
 
Mkuu Kama Ni laki moja nakuja hata sasa hivi
 
Huyu jamaa Nina mashaka nae, hiyo freeze kaitangaza kupatana tens Mara mbili, bei ya kanza 200,000 na ya pili 180,000 so each out, kajama kwenyewe kana kitu balaa
 
TMPDOODLE1511679844776.jpg
 

Attachments

  • TMPDOODLE1511679888094.jpg
    TMPDOODLE1511679888094.jpg
    33.6 KB · Views: 102
Kitu
 

Attachments

  • TMPDOODLE1511681202075.jpg
    TMPDOODLE1511681202075.jpg
    38.6 KB · Views: 98
  • TMPDOODLE1511681221067.jpg
    TMPDOODLE1511681221067.jpg
    35.3 KB · Views: 113
Huyu jamaa Nina mashaka nae, hiyo freeze kaitangaza kupatana tens Mara mbili, bei ya kanza 200,000 na ya pili 180,000 so each out, kajama kwenyewe kana kitu balaa
Mkuu vyuma vimekaza huwez komaa na bei kubwa wakat ofa zinazokuja ni ndogo inabid ibadilike kulingana na hali ya maisha inayoenda kwa wengi nafikiri 170.000 "itapendezaa"
 
Mkuu vyuma vimekaza huwez komaa na bei kubwa wakat ofa zinazokuja ni ndogo inabid ibadilike kulingana na hali ya maisha inayoenda kwa wengi nafikiri 170.000 "itapendezaa"
Haya mkuu kila LA heri
 
Back
Top Bottom