mimi natafuta, ila hebu nieleze vizuri hao ulio nawo ni chotala ki vipi??? kienyeji na kuku wapi??? au na wewe hujui ila unajua tu ni chotara?? nipe.historia yao yufanye biashara
Poleni kwa kupotea,wale vifaranga tyr wameuzwa,km utahitaji tena napokea oda za vifaranga wa siku 1 hadi 7,bei ni elfu 2,napatikana kwa namba hii 0657666740
Poleni kwa kupotea,wale vifaranga tyr wameuzwa,km utahitaji tena napokea oda za vifaranga wa siku 1 hadi 7,bei ni elfu 2,napatikana kwa namba hii 0657666740