Nauza vifaranga vya Kloila

subram

Member
Joined
Feb 6, 2018
Posts
23
Reaction score
10
Nauza kloila vifaranga vya wiki 7 mbegu kubwa wamepata chanjo 4
Bei:7500
Location Sae Mbeya, 0676692082

SIFA
Wana stahimili magonjwa
Hufikia uzito wa kilo 5 kwa Jogoo na kilo 3.5 hadi 4 kwa tetea
Wanaweza fugwa kienyeji hivyo hupunguza gharama za ufugaji
Nyama na mayai ya kloila yana ladha nzuri sana
Huanza kutaga kuanzia wiki 18-20
Hutaga kwa miaka miwili mfululizo

 
eh mnyaazi Mungu mjalie mja wako auze vifaranga vyote naye akaifaidi sikukuu kama walamba asali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…