Habari wanajf?
..karibuni tuendeleze gurudumu la ufugaji,
..kwa anaehitaji vifaranga vya kuku machotara wa nyama na mayai pia, wenye umri wa mwezi mmoja wakiwa tayari wamekwisha chanjwa namkaribisha,
...kwa wahitaji waliopo mikoa ya Arusha,Dodoma,Manyara,Dar-es-salaam,Singida,Tabora pamoja na Shinyanga karibuni PM
Nina mashaka na ujasiriamali wako coz hujaweka namba ya simu na bei za hao kuku/kanga. Uko dunia gani? digital au analogia? kwa makini na unachokifanya
Nina mashaka na ujasiriamali wako coz hujaweka namba ya simu na bei za hao kuku/kanga. Uko dunia gani? digital au analogia? kwa makini na unachokifanya