Nauza vitabu vya General Studies

Nauza vitabu vya General Studies

ALPHA2012

Member
Joined
May 9, 2012
Posts
12
Reaction score
8
Habari wana Jamvi? Nauza vitabu vya somo la General Studies (GS) linalofundishwa kwa Kidato cha 5 na 6. Kitabu ni cha mfumo wa "Review' yaani kina maswali 108 pamoja na majibu yake. Bei ni shs 10,000. Mimi napatikana Dar es salaam sehemu za Tegeta. Unaweza kuagiza kwa kunipigia simu namba 0744 627 333 na 0712 682 475. Karibuni sana.
 

Attachments

Back
Top Bottom