Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Havijawahi kufanyia ujinga wowote walikua wakilalia watoto... vikawekwa stoo sasa tunapunguza vitu stoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Chato
Mpera umeanza kuchongwa mbao siku hizi😀
Ha ha leo kuna mwana kaja kuninadishia kitanda kipya kabisaa, sema nakiogopa sijui katumia mti ganiMpera umeanza kuchongwa mbao siku hizi[emoji3]
Unahofia mwana huenda katumia mpera ama?😀😀Ha ha leo kuna mwana kaja kuninadishia kitanda kipya kabisaa, sema nakiogopa sijui katumia mti gani
Sent using Jamii Forums mobile app