Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa ni manzi kama ni mpunga pia tunatwanga...[emoji28][emoji28][emoji28]Watu wameona avatar ya kalio wanadhani ni mwanamke unaeza kuta ni mwanaume[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama mwanaume kabisa jeAtakuwa ni manzi kama ni mpunga pia tunatwanga...[emoji28][emoji28][emoji28]
Sawaa mkuu Ila nilitaka ya kwako...Ndio chumba nimeshapata asante sana. Mapazia kwanini usingenunua mbona Dar ni bei rahisi sana
Daah..basi mkuu niachie ata namba zakoBahati mbaya nimemgawia mtu huku huku Mwanza na mimi nakuja kununua mengine Dar mkuu
Kama ni mchele tunatafunaKama mwanaume kabisa je
Sio kila mtu ana uwezo wa kugawa wengine tunauza ili tunanunue vingine tunakoenda. Mungu akubariki kwa moyo wako wa kugawa kwa majirani.
Unatoa ukiwa nacho kama huna kwann utoe kisa ni moyo? Yaani nitoe kwa jirani halafu mimi sina?
Nimesoma comments zote adi hapa....[emoji23][emoji23]........[emoji119]