SOLD: Nauza vitu vya ndani, kigamboni

Status
Not open for further replies.
Haujaweka namna nzr ya kukutafuta...
Umesema tu mtu aje kigamboni na haujafafanua na hata no ya simu haujaweka. Yaan mtu akufuate inbox kuomba namba
 
Nimesoma kichwa cha habari na kufungua kwa haraka kumbe unauza samani
 
Sasa Me na dressingtable ndugu yangu? au anauza kwa niaba ya mtu
Kwani nini maana ya dressing table? acha kukariri. Unataka mafuta, kioo, chana vikae chini au kwenye kabati la vyombo?.
 
Kwani nini maana ya dressing table? acha kukariri. Unataka mafuta, kioo, chana vikae chini au kwenye kabati la vyombo?.


Kumbe na kabati la vyombo unalo mkuu? Mbona lenyewe huuzi?
 
Kuelekea mwezi wa saba tutasikia mengi.....
Shikamoo anko Mapombe Magu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…