kwame nkuruma jr
JF-Expert Member
- Jun 11, 2017
- 301
- 640
hapana nafanya kazi ila nahama mkoa.
mwanachuo anakaa chumba na sebule na choo ndani na anakalia masofa? wachache
Asante Kwa ufafanuzi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana nafanya kazi ila nahama mkoa.
mwanachuo anakaa chumba na sebule na choo ndani na anakalia masofa? wachache
Mkuu mie nataka iko king'amuzi...utaniuzia bei gani!!hapana nafanya kazi ila nahama mkoa.
mwanachuo anakaa chumba na sebule na choo ndani na anakalia masofa? wachache
DSTV, nitakufanyia 100k tu.Mkuu mie nataka iko king'amuzi...utaniuzia bei gani!!
Nahitaji betri za remoti ya dstv mkuu.. nakupataje?!..DSTV, nitakufanyia 100k tu.
Fanya sitini mkuu nichukue chombo hikoDSTV, nitakufanyia 100k tu.
Hilo timbwili sijui litazimwa vp...Mi nasubiri povu la jamaa kwa kuambiwa eti anaenda kuolewa!
Hahah mbona kama mwandiko wa muuzaji unaonesha jinsia yake ni ya kiume
DSTV, nitakufanyia 100k tu.
Nimesoma kichwa cha habari na kufungua kwa haraka kumbe unauza samaniKuna vitu hivi;
-Sofa moja la watu wawili
-Meza ndogo
-Kitanda na godoro
-Subwoofer ndogo, full na kila kitu chake hadi box
-Dressing table
-Decoder na ungo(dstv)
Vyote nafanya 600,000 tu bei ya hasara maana nataka kuhama, chumba pia kipo kwa atakayehitaji utaongea na mwenye nyumba(chumba na sebule na choo ndani). Unaweza kuchukua kimoja wapo au viwili tutaongea bei ukiviona.
NB: Sina smartphone kwasasa nashindwa kupiga picha ila kwamaelezo zaidi njoo kigamboni uvione .
Mpendwa muuza vitu mimi nahitaji chumba
Kwani nini maana ya dressing table? acha kukariri. Unataka mafuta, kioo, chana vikae chini au kwenye kabati la vyombo?.Sasa Me na dressingtable ndugu yangu? au anauza kwa niaba ya mtu
Kwani nini maana ya dressing table? acha kukariri. Unataka mafuta, kioo, chana vikae chini au kwenye kabati la vyombo?.
Kwahyo wanachuo hawakalii sofa daah hizi dharau sasahapana nafanya kazi ila nahama mkoa.
mwanachuo anakaa chumba na sebule na choo ndani na anakalia masofa? wachache