SOLD: Nauza vitu vya ndani, kigamboni

SOLD: Nauza vitu vya ndani, kigamboni

Status
Not open for further replies.
Imeongezeka na flash disk ya 32GB bei 20,000 tu. ukichukua vitu vya ndani nakupa hii flash bure
 
Imeongezeka na flash disk ya 32GB bei 20,000 tu. ukichukua vitu vya ndani nakupa hii flash bure

Kuna vitu hivi;
-Sofa moja la watu wawili
-Meza ndogo
-Kitanda na godoro
-Subwoofer ndogo, full na kila kitu chake hadi box
-Dressing table
-Decoder na ungo(dstv)
Vyote nafanya 500,000 tu bei ya hasara maana nataka kuhama, chumba pia kipo kwa atakayehitaji utaongea na mwenye nyumba(chumba na sebule na choo ndani). Unaweza kuchukua kimoja wapo au viwili tutaongea bei ukiviona.

NB: Sina smartphone kwasasa nashindwa kupiga picha ila kwamaelezo zaidi njoo kigamboni uvione .
Leta KIBITI nakupa Milioni Moja maana nimekosa muda wa kuja ila nahitaji vyombo hivyo mkuu!
 
Imeongezeka na flash disk ya 32GB bei 20,000 tu. ukichukua vitu vya ndani nakupa hii flash bure

Kuna vitu hivi;
-Sofa moja la watu wawili
-Meza ndogo
-Kitanda na godoro
-Subwoofer ndogo, full na kila kitu chake hadi box
-Dressing table
-Decoder na ungo(dstv)
Vyote nafanya 500,000 tu bei ya hasara maana nataka kuhama, chumba pia kipo kwa atakayehitaji utaongea na mwenye nyumba(chumba na sebule na choo ndani). Unaweza kuchukua kimoja wapo au viwili tutaongea bei ukiviona.

NB: Sina smartphone kwasasa nashindwa kupiga picha ila kwamaelezo zaidi njoo kigamboni uvione .
Mkuu niko very serious nicheck faster 075-763-2318
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom