Nauza vitu vyangu vya ndani, nimepata mchongo wa kubeba box

Nauza vitu vyangu vya ndani, nimepata mchongo wa kubeba box

Waite watu wa fumigation fasta
A new virus will rise from that room
 
...ungo dikoda mwendo DSTv, zinga la tV na deki ya DVD, bonge la mziki linatwanga tu CD,

na hakuna feni, full time ni AC, na ilo ni la dom tu, acha la Dar, home Temeke, mwanaJF unapokaa !
Hongera mkuu
 
Back
Top Bottom