Plot4Sale Nauza viwanja Bomang'ombe

bukoba boy

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2015
Posts
5,370
Reaction score
3,962
Vimepimwa na hati zake kamili na malipo ya kodi zote,square meter 600 kila kiwanja.Ni pale lile eneo maarufu kama makazi ya wastaafu.
Sababu ya kuuza,shida na hela ya kuendeleza project zangu.bei ni million 6 kwa kila kiwanja.Na kama nikipata dalali wa kunisaidia na hii ishu ntafurahi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…