Nauza Wifi Bulb Camera

Nauza Wifi Bulb Camera

Mzigo wa kamera bado upo wa kutosha wakuu
Kwa wahitaji Naomba tuwasiliane 0718295182
 
Wazee wa kuweka camp maporini nao zinawafaa sana
karibuni
 
Ukiwa na Camera eneo la kazi au nyumbani inakupa uhakika wa kumjua anayekuharibia hata ukiwa mbali
 
nilinunua kabla ila nilipohama ofisi nimeshindwa kuiset...so naitaji fundi wa kunisetia upya!
 
Wakuu mzigo ninao bado nicheki 0718295182
Kama kuna swali lolote kuhusu bidhaa karibu
 
Kamera ina wifi inayojitegemea
Kinachohitajika ni kifaa kitakachoiwezesha camera kupata internet, iwe router au simu

haijalishi uko maeneo gani, kikubwa kuwe na Router yenye data
camera itawezeshwa kupata internet
na Utaweza kupata matukio ukiwa mbali kupitia apps utakayoifadhi kwenye smartphone yako
Kama Sina router nawezaje kuona matukio?
 
Kama Sina router nawezaje kuona matukio?
Ishu ni kuiwezesha kamera kupata access ya internet Ili iweze kutuma taarifa ukiwa mbali
So kama una simu unayoweza kuifanya router ni sawa pia
 
Back
Top Bottom