Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Hata mabaradhuli HUZEEKA, hili zee ni libaradhuliHilo zee nilipenda sifa.
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mabaradhuli HUZEEKA, hili zee ni libaradhuliHilo zee nilipenda sifa.
Ova
Mabaradhuli hawajawahi kustaarabika hata wakizeekaKama ni mstaarabu natumai ata sahihisha alicho kisema!
SanaaaaHata mabaradhuli HUZEEKA, hili zee ni libaradhuli
Usajili blella ni 70.000 tu unakua huru na known kwa mamlaka husikaShukran sana mr kwa ushauri.[emoji120]
Hamna namna nimemuharibia biashara yake, nomempa wazo la ku add value kwenye product yake.Acha kuharibia watu biashara zao wewe mzee. Si ufungue uzi wako.
Kuna njia bora zaidi za kuwasilisha wazo!...hyo yako ni bullying!Hamna namna nimemuharibia biashara yake, nomempa wazo la ku add value kwenye product yake.
Package ni muhimu sana kwenye kukuza soko la bidhaa.
Rejea mfano wa K Vant waliongeza sana mauzo baada ya kubadili packing yao
View attachment 1955492
[emoji120]jitahidi uweke hata lebo mkuu ni muhimu sana
Sawa.Mabaradhuli hawajawahi kustaarabika hata wakizeeka
Vipi mkuu hizi package bado zinapatikana??Nauza package nzuri ya wine ya Lita tano, achana na hiyo package ya waganga wa kienyeji
View attachment 1955484