Naviomba Vyuo Vikuu vya Tanzania vije na huu Utaratibu kwa Members wa JamiiForums


Yani hata wewe uliesomea Mugetta Education Center una balls za kumwambia mtu hajui kiingereza?
 
Yani hata wewe uliesomea Mugetta Education Center una balls za kumwambia mtu hajui kiingereza?
Niliomba Mimi na Wewe tuwe tunajibizana kwa Kiingereza tupu hapa JamiiForums mbona hujanijibu juu ya hilo ili nikutoe Jasho na Kiingereza chako Uchwara cha Darasa la Tatu huko Kijijini Kwenu?

Haya naomba sasa uturekebishie hapo kwa huyo Boya Mwenzako aliyeandika I was been there na uandiike jinsi ambavyo ingetakiwa sawa?
 
ndo maana kila siku nakwambiaga wewe ni mwalimu wa tuition centre. Umejaa mwenyewe
 
ndo maana kila siku nakwambiaga wewe ni mwalimu wa tuition centre. Umejaa mwenyewe
Mbona hutaki Kushindana nami Kubishana ( Kujibizana ) kwa Kiingereza Pimbi na Mpumbavu Mmoja Wewe ili Uumbuke kwa Kujifanya Mjanja wakati hujui Kiingereza na unachokijua ni cha Darasa la Tatu tu?
 
Mbona hutaki Kushindana nami Kubishana ( Kujibizana ) kwa Kiingereza Pimbi na Mpumbavu Mmoja Wewe ili Uumbuke kwa Kujifanya Mjanja wakati hujui Kiingereza na unachokijua ni cha Darasa la Tatu tu?
What is English?
 
Mwezi mchanga

Kumekucha, kumekucha
 
๐„๐ฅ๐ข๐ฆ๐ฎ๐ฒ๐š๐ฆ๐š๐ค๐š๐ซ๐š๐ญ๐š๐ฌ๐ข๐ง๐ข๐ฎ๐ฌ๐ž๐ง๐ ๐ž๐ฆ๐ญ๐ฎ๐ฉ๐ฎ
 
๐Œ๐œ๐ก๐š๐ง๐ ๐จ ๐ก๐š๐ฌ๐ข ๐š๐ฎ ๐œ๐ก๐š๐ง๐ฒ๐š
 
๐Œ๐œ๐ก๐š๐ง๐ ๐จ ๐ก๐š๐ฌ๐ข ๐š๐ฎ ๐œ๐ก๐š๐ง๐ฒ๐š
 
We matusi yako yatadhalilisha PhD. Yaani kwako labda certificate, tena ile basic. Maana mwamba ukichafukwa unateleza matusi ya moshi wa kuni mbichi. Unasambazaga mitusi ya ukoo mzima..!!
 
naonga mkono hoja kwa maana ya kwamba, kwanza JAMII FORUM itunukiwe tunzo ya heshima yenye hadhi ya miongoni mwa majukwaa bora na huru zaidi ya habari duniani.

Halafu baada ya hapo sasa members kama hao ulopendekeza, kwakweli waanze kutambuliwa na kutunukiwa PHDs za heshima kwa michango yao muhimu sana waliowahi kuitoa humu jukwaani kwa ustawi wa Taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ