Kuna ule wimbo wa muumini " Anameremeta, mwinjuma muumini anameremeta" baadhi ya mistari katika huo wimbo...inaitwaje hii?1. Mgumba
2. Kilio cha yatima
3. Ndugu lawama....
Nami pia nautafta huu wimboKuna ule wimbo wa muumini " Anameremeta, mwinjuma muumini anameremeta" baadhi ya mistari katika huo wimbo...inaitwaje hii?
Na nyingine " Kule bagamoyo kule, kule bagamoyo kule. Kuna madege meupe" inaitwaje hii pia.