Navy sends ship to Tanzania, aims to expand presence in IOR

What is your point exactly?
Hueleweki dogo.
Sasa unataka Tanzania tuwe kama USA, Russia au China?
Ondoa ushamba.
 
Kama hujui kitu usipige makelele.
Soma hapa GDP per capita uone

Kenya: 2925.60
Tanzania: 2583.30
Rwanda: 1773.80
Uganda: 1713.90
Ethiopia: 1608.30

GDP per capita PPP - Countries - List | Africa

Sijui wewe mwenzetu kipimo umekitoa wapi?
Una elimu gani kijana?? GDP per capita haiakisi maendeleo ya mtu mmojammoja. Hiyo inaweza kuchangiwa na matajiri wachache wakati wengi wa raia ni masikini wa kutupwa na hivyo ndivyo kilichopo Kenya.
 
Una elimu gani kijana?? GDP per capita haiakisi maendeleo ya mtu mmojammoja. Hiyo inaweza kuchangiwa na matajiri wachache wakati wengi wa raia ni masikini wa kutupwa na hivyo ndivyo kilichopo Kenya.
Inachangiwa na matajiri kivipi? Acha kutokwa na mapovu bana. Kwanini usilete official information ku support unachosema?
Rwanda bado sana kuingia kwenye vita vya kiuchumi. Usisogeze pua kwa Tanzania hata maisha ya mtu binafsi tu Rwanda bado wako nyuma sana ya TZ. Sijui wewe unaongelea data zipi.

Hapa tunaongelea GDP per capita na siyo GDP pekee.
 
Wewe unabisha bila hata kujua unayembishia amesimamia hoja gani. Kalale.Rwanda imekuja vipi hapa. Rudia post yangu ya mwanzo.
 
Wa tz, siasa kwenye kila kitu halafu mtegemee mambo mazuri! Aaaahhh wapi na ndiyo mnabisha hadi data zinakosekana
 
What is your point exactly?
Hueleweki dogo.
Sasa unataka Tanzania tuwe kama USA, Russia au China?
Ondoa ushamba.
Soma uelewe, si kukimbila kujibu hobela hobela
 
http://www.businessdailyafrica.com/...-wealth/-/539546/2213834/-/md5kpfz/-/index.ht
Hii taarifa bado ninashindwa kuielewa, wewe unaielewaje, kwamba wakenya 45M wanagawana theluthi moja iliyobaki?
 

Warudishieni Wasomali bahari yao, wizi wizi tu. Kenya is landlock.
 
Umesoma ujumbe huu lakini?

Ni muhimu ikafahamika kwamba nchi zote duniani ikiwemo Kenya hufuata miongozo ya WTO na Shirika ka Afya ya Wanyama duniani OIE...

Tanzania haitakiwi kuiongelea Kenya na "nchi zote duniani" kwamba huwa zinafuata rules za WTO na OIE. Hatujui kama "nchi zote huwa zinafuata" na hatujui kama WTO na OIE wenyewe wanakubali kwamba Kenya na "nchi zote duniani" wanafuata miongozo yao. Tunachojua sisi Tanzania na tunachoweza kukisema kwa uhakika ni kwamba Kenya is signatory to WTO and OIE treaties. That's all we know, and that's the diplomatic assertion that should have been properly made by us. Foreign servicemen who authored this release should know better.
 
For God sake hiyo meli ndo unaifananisha na ya India? [emoji23] [emoji115]

Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
 
nimekimbia huku nikidhani ni tanzanian navy kumbe ni india...wabongo ni vituko
 
Hizo white elephants mbona mpo nazo nyingi tu. Weka hapa link tuweze kuikagua hiyo meli
Kwikwikwikwi....
unajua maana ya white elephant kweli au unapenda hilo neno tu. Umesoma hapo tunaeza pata mapato ya $150million kila mwaka tukianza kutumia technolojia za kisses za uvuvi.

Kabla ufanye proper commercial fishing, lazma ufanye study ya bahari yako , lazima ujue water column levels,biological and chemical analysis of your waters, planktons location, nutrient profiling, seabed topography.... Ukishafanya hayo yote ndo utajua exactly where to fish and how to fish and when to stop fishing
 
I bet Kenya has not been surveyed!
You know what happens when you bet against Kenya, you will only end up disappointing yourself. So far mv.mtafiti has only conducted 3 survey voyages of avg 15day trips between kiunga and kilifi. Once the faster and newer mv.Doria arrives, the process will go much quicker and survey all our maritime zone.

The process is not a cheap one though, the ships burn 3.5tonnes of fuel per day, it costs 30 million shillings just for one 15 day survey voyage .

But the returns that will come after the survey is done will be worth it

 
Nina uhakika Kenya hakuna meli kama hii kama ipo waitaje tutaikagua. Maana kila detail ipo online siku hizi!

Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
Formaline fuuuuuuu povu linatoka maskio,pua,..mdufu...fyuuu fyuu

Google Mv.Doria utaona kitu kipya sayii kinafanyiwa sea trials somewhere in the indian ocean.

It was already handed over in june this year from bangladesh shipbuilding yard.

Look at the top right you will see 'Doria'


Now all is left after the sea trials is to add the helicopter fully equipped with all the advance tech , and an additional gun just in case the ship has to defend itself
 
Haya tafsiri ni simple sana. Google inarahisisha mambo. Kujifanya mjuaji siku hizi ni no:


White elephant
noun
  1. a possession that is useless or troublesome, especially one that is expensive to maintain or difficult to dispose of.
Origin
from the story that the kings of Siam gave such animals as a gift to courtiers they disliked, in order to ruin the recipient by the great expense incurred in maintaining the animal.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…