Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Sawa nitakutafutiaItabidi unitafutie wewe [emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa nitakutafutiaItabidi unitafutie wewe [emoji4]
fika hapa mjin nikupeleke chimbo la watt wa kibongo a.k.a kibao kata utapata raha yakeeWapi hapo mzee? Nitafurahi ukinipeleka aisee!! Kuhusu usafiri utapanda Bentley mkuu
Acha woga njoo uchukue zawadi yako.Hayo mambo ya geto hayo [emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210]
Hahahaahahaa.. chura muhimu. Utashika nini sasa kama nyuma kuko 180°Doh ntafurahi sana awe na chura lkn [emoji23]
Mungu anakuona......Hahahaahahaa.. chura muhimu. Utashika nini sasa kama nyuma kuko 180°
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Nimejisemea tuuuMungu anakuona......
Poa ntakucheki mkuu
Nasuruhusiwa kuja nakujilipia bills zangu mwenyewe?Hello JF kama ule msemo wetu pendwa ulivyo #kazinabata# basi nami nawaalika warembo wa JF wasizidi 10 tule bata pamoja au sio?
Tarehe 26 nitaruka kutoka Washington Dules international Airport kuelekea Dar es Salaam then tarehe 28 nitakua free kwenye viunga vya Dar so napendelea kujulishwa viwanja vipya vya kujivinjari na warembo wangu wa JF!! Baada ya hapo Tarehe 30 tutakua na flight kuelekea Serengeti then Ngorongoro na kurudi Dar es Salaam tarehe 3 January.
Hivyo ukiwa kama mrembo wa JF karibu sana u join nami and all bills zitakuwa juu yangu only nahitaji hangout tuu. Zawadi pia zitakuwepo.
Watakao hitaji karibuni sana hapa au PM.
Karibuni.
Mkuu Suriya haya ni matusi sasaHumu warembo hawezi pata, wazur wa humu hawana shobo hzo,
Ila wabovu wa humu wanataman knyama sema ndo ivo sura na umbo private.
Mkuu umefanikiwa kuonana nao wote.Humu warembo hawezi pata, wazur wa humu hawana shobo hzo,
Ila wabovu wa humu wanataman knyama sema ndo ivo sura na umbo private.
Matusi yakufungia mwaka lol.Humu warembo hawezi pata, wazur wa humu hawana shobo hzo,
Ila wabovu wa humu wanataman knyama sema ndo ivo sura na umbo private.
Neither of the twoWew upo kundi lipi kati ya makund hayo mawili nimetaja?
Matusi yakufungia mwaka lol.
Neither of the two
DohAliniambia nijiandae twende vocation akitua tu Tz tutaenda kula bata,
Nikasubiri wee kumbe jamaa alikua Tegeta nyuki