Nawaalika warembo wa kula nao bata

Wapi hapo mzee? Nitafurahi ukinipeleka aisee!! Kuhusu usafiri utapanda Bentley mkuu
fika hapa mjin nikupeleke chimbo la watt wa kibongo a.k.a kibao kata utapata raha yakee
 
Nasuruhusiwa kuja nakujilipia bills zangu mwenyewe?
 
Humu warembo hawezi pata, wazur wa humu hawana shobo hzo,
Ila wabovu wa humu wanataman knyama sema ndo ivo sura na umbo private.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…