Nawaandikia dada zangu wapendwa.

Nawaandikia dada zangu wapendwa.

Tall

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2010
Posts
1,425
Reaction score
168
Si vema kufanya tendo la ndoa kabla hujaolewa.....kuna wale ambao hufanya hivyo na wanalazimika kuvaa condom,kuna tetesi kuwa kuna baadhi ya wanaume wenzangu ambao hutoboa condom pale chini halafu anaivaa,wewe unajua angalau upo salama kwa kiasi fulani kumbe sio.Hawa watu aidha wameathirika hivyo wanataka wafe na mtu au hawataki tu kuvaa condom:
USHAURI: KAGUA CONDOM KABLA YA MECHI.
 
Sio hivyo banaaa..wanatoboa condom wapate mautamu ya kula jino kwa jino na nyama kwa nyama...si unajua inavyokuwaga tamuuu
 
hapa nina swali ngoja nitauliza baadae

Hata mimi ninalo, naliuliza sasa hivi.

Mheshimiwa Tolu, kwanini unatoboa kondom halafu unawamega dada zetu? Kama hufanyi hivyo ulijuaje kama wanaume wakware wenzio wnafanya hivyo?
 
Hata mimi ninalo, naliuliza sasa hivi.

Mheshimiwa Tolu, kwanini unatoboa kondom halafu unawamega dada zetu? Kama hufanyi hivyo ulijuaje kama wanaume wakware wenzio wnafanya hivyo?
Kama hajasikia swali, naomba kulirudia........
Kwa nini unatoboa ndomu Tolu?
 
Kama hajasikia swali, naomba kulirudia........
Kwa nini unatoboa ndomu Tolu?
Kakague! Kakague! Au thibitisha kwa hapa chini:



The Following User Says Thank You to Bigirita For This Useful Post:
Chrispin (Today)
 
Hata mimi ninalo, naliuliza sasa hivi.

Mheshimiwa Tolu, kwanini unatoboa kondom halafu unawamega dada zetu? Kama hufanyi hivyo ulijuaje kama wanaume wakware wenzio wnafanya hivyo?
mie swali langu tofauti kidogo unajua condom unapoitoboa halafu ukaingiza kule ukianza kuvinyonga tu inapasuka yote kwa hiyo ni nrahisi mdada kujua (nimeongea hapo kwa uzoefu wangu wa enzi za mwl)
 
Sio hivyo banaaa..wanatoboa condom wapate mautamu ya kula jino kwa jino na nyama kwa nyama...si unajua inavyokuwaga tamuuu

Kwa hiyo unataka kuniambia akishaitoboa na game imechanganya hiyo kondom itapanda juu kama vile zilivyokuwa zikipanda kifuani zile chupi za V.I.P.Sasa nimepata picha,hapo itakuwa mnofu kwa mnofu.Tatizo litakuja pale utakapokuta huyo uliyetaka kumuambukiza nae anavyo vimarekani tena vyakutosha.Hivyo from diffusion process point of view,itabidi akugawie japo kidogo hivyo kujiongezea matatizo.Kwa hiyo Tall acha mchezo wako wa kutoboa hiyo maneno.
 
mie swali langu tofauti kidogo unajua condom unapoitoboa halafu ukaingiza kule ukianza kuvinyonga tu inapasuka yote kwa hiyo ni nrahisi mdada kujua (nimeongea hapo kwa uzoefu wangu wa enzi za mwl)

Si useme tuu kama na wewe ulikuwa mmoja wao.Kumbukeni funza,funza tuu,utakapo mkuta popote jua pameshaoza,acheni kutoboa kondom na tubuni kama mwenzenu anavyotubu hapa ingawa nidirect.
 
....kuna tetesi kuwa kuna baadhi ya wanaume wenzangu ambao hutoboa condom pale chini halafu anaivaa,wewe unajua angalau upo salama kwa kiasi fulani kumbe sio...

Kondom ikitobolewa kabla ya kuvishwa u.u.me ni lazima itachanika wakati wa zoezi la kuivaa au kuvalishwa:

BTW: Wanawake wenye kufahamu matumizi sahihi ya Kondomu huwavalisha wenzi wao na katika "process" ya kuvalisha uminya kile "kichuchu" kuzuia hewa isiingie - Kwahiyo "chances" za mwanaume kuitoboa ni ndogo sana.

Play Safe - Kuizuia HAKUWEZEKANI!
 
hata mimi ninalo, naliuliza sasa hivi.

Mheshimiwa tolu, kwanini unatoboa kondom halafu unawamega dada zetu? Kama hufanyi hivyo ulijuaje kama wanaume wakware wenzio wnafanya hivyo?
umeuliza swali zuri sana,majuzi nilikuwa mkoa fulani unaoongoza kwa maambukizi ya ukimwi(kwa mujibu wa rekodi za 2008),nilijaribu kuongea na baadhi ya akina dada kwa nini ukimwi umeenea sana maeneo hayo.walijibu '' hawa wanaume tumegundua wanatoboa condom kutumaliza,na ndio maana wanawake wengi wameathirika kuliko wanaume''
 
Mie nashukuru kwa ujumbe huu ila tu nauliza
1. Mbona umewaasa kina dada tu kutofanya mapenzi kabla ya ndoa?
2. Mbona umetuasa tusifanye mapenzi kabla ya ndoa lakini mwisho ukatuambia tukague condom? Kwa hiyo ni ruhsa kufanya ila tukague condoms?

Aksante mwalimu
 
Si useme tuu kama na wewe ulikuwa mmoja wao.Kumbukeni funza,funza tuu,utakapo mkuta popote jua pameshaoza,acheni kutoboa kondom na tubuni kama mwenzenu anavyotubu hapa ingawa nidirect.
mie nimewahi kutoboa condom kuna demu nilikuwa napiga long time akawa anadai nikipiga bao atapata mimba kwa hiyo nikishaivaa napiga kidogo baadae naitoboa pale mbele na kitu chenye ncha kali nikirudisha tena ile kitu dubwilini mikito mitatu tu unakuta kondomu inachapa kende
 
umeuliza swali zuri sana,majuzi nilikuwa mkoa fulani unaoongoza kwa maambukizi ya ukimwi(kwa mujibu wa rekodi za 2008),nilijaribu kuongea na baadhi ya akina dada kwa nini ukimwi umeenea sana maeneo hayo.walijibu '' hawa wanaume tumegundua wanatoboa condom kutumaliza,na ndio maana wanawake wengi wameathirika kuliko wanaume''
hao kina dada nao wazushi tall kama unafanya research utakuja na wrong data, wangesema tu ni umalaya wao sasa kwa nn wawakubali hao wanaume kama nao hawaogopi ngoma walikuwa wanajitetea tu siku nyingine uwape posho kidogo watakwambia ukweli
 
Tall, umechanganyikiwa au unaelekea kushanganyikiwa?

Mganyizi unadandia treni kwa mbele,kuchanganyikiwa kwa Tall kuko wapi wakati anatoa elimu ya Ukimwi?Au wewe unaona poa tu watu kuwaambukiza wenzao ukimwi kwa makusudi?
 
Back
Top Bottom