Nawaandikia dada zangu wapendwa.

Nawaandikia dada zangu wapendwa.

mie nashukuru kwa ujumbe huu ila tu nauliza
1. Mbona umewaasa kina dada tu kutofanya mapenzi kabla ya ndoa?
2. Mbona umetuasa tusifanye mapenzi kabla ya ndoa lakini mwisho ukatuambia tukague condom? Kwa hiyo ni ruhsa kufanya ila tukague condoms?

Aksante mwalimu
kwa sababu akina dada wakikataa wanaume watafanya na nani?......nimesema kagua kama ukishindwa kabisa kuvumilia kucheza mechi kabla ya ndoa. Subiri.......ukishindwa........
 
Si vema kufanya tendo la ndoa kabla hujaolewa.....kuna wale ambao hufanya hivyo na wanalazimika kuvaa condom,kuna tetesi kuwa kuna baadhi ya wanaume wenzangu ambao hutoboa condom pale chini halafu anaivaa,wewe unajua angalau upo salama kwa kiasi fulani kumbe sio.Hawa watu aidha wameathirika hivyo wanataka wafe na mtu au hawataki tu kuvaa condom:
USHAURI: KAGUA CONDOM KABLA YA MECHI.

Nafikiri ushauri mzuri ni "beba kondomu yako, hasa ya kike"
 
kwa sababu akina dada wakikataa wanaume watafanya na nani?......nimesema kagua kama ukishindwa kabisa kuvumilia kucheza mechi kabla ya ndoa. Subiri.......ukishindwa........
Hujawahi kusikia neno "MASHOGA"?

BTW naomba kuuliza, hivi ni wanaume peke yao ndio wanaoambukiza ngoma? Hivi wanawake hawawaambukzi wanaume?
 
mganyizi unadandia treni kwa mbele,kuchanganyikiwa kwa tall kuko wapi wakati anatoa elimu ya ukimwi?au wewe unaona poa tu watu kuwaambukiza wenzao ukimwi kwa makusudi?
anahitaji maombezi yanguvu huyu...
 
hujawahi kusikia neno "mashoga"?

Btw naomba kuuliza, hivi ni wanaume peke yao ndio wanaoambukiza ngoma? Hivi wanawake hawawaambukzi wanaume?
wote wanaambukizana hasa wakicheza ile mechi wakiwa pekupeku hapo uwezekano ni mkubwa sana.
 
kwa hiyo unataka kuniambia akishaitoboa na game imechanganya hiyo kondom itapanda juu kama vile zilivyokuwa zikipanda kifuani zile chupi za v.i.p.sasa nimepata picha,hapo itakuwa mnofu kwa mnofu.tatizo litakuja pale utakapokuta huyo uliyetaka kumuambukiza nae anavyo vimarekani tena vyakutosha.hivyo from diffusion process point of view,itabidi akugawie japo kidogo hivyo kujiongezea matatizo.kwa hiyo tall acha mchezo wako wa kutoboa hiyo maneno.
ushindwe!!!!
 
Hata mimi ninalo, naliuliza sasa hivi.

Mheshimiwa Tolu, kwanini unatoboa kondom halafu unawamega dada zetu? Kama hufanyi hivyo ulijuaje kama wanaume wakware wenzio wnafanya hivyo?

Hapa Hommie umegonga ikulu.... Tolu tunaomba uwaonee huruma dada zetu....Usitoboe tena Condom!!
 
Kwa kuongezea kwenye ushauri "pia umvalishe mwenzi wako"

Najua wanaume wengi hatujui jinsi ya kuvalisha wenzi wetu hizi kondom zao,mnaonaje mkatoa somo kisha umasishaji ukaanza juu ya wanaume nao kuhakikisha wamewavalisha wenzi wao kondom.Halafu ikitokea demu katinga kondom yake na wewe mzee umejitwisha ya kwako,si ndo inakuwa safi zaidi.
 
Hapa Hommie umegonga ikulu.... Tolu tunaomba uwaonee huruma dada zetu....Usitoboe tena Condom!!
jamani mbona mnapenda kumsakama tall? kutoa topiki ndio imekuwa kosa lol
 
umeuliza swali zuri sana,majuzi nilikuwa mkoa fulani unaoongoza kwa maambukizi ya ukimwi(kwa mujibu wa rekodi za 2008),nilijaribu kuongea na baadhi ya akina dada kwa nini ukimwi umeenea sana maeneo hayo.walijibu '' hawa wanaume tumegundua wanatoboa condom kutumaliza,na ndio maana wanawake wengi wameathirika kuliko wanaume''

mie nimewahi kutoboa condom kuna demu nilikuwa napiga long time akawa anadai nikipiga bao atapata mimba kwa hiyo nikishaivaa napiga kidogo baadae naitoboa pale mbele na kitu chenye ncha kali nikirudisha tena ile kitu dubwilini mikito mitatu tu unakuta kondomu inachapa kende

hapa Tolu unatoa uzoefu pamoja na uzoefu wa wengine aseee "we have a long way to Tz Aids Free Generation!!
 
Najua wanaume wengi hatujui jinsi ya kuvalisha wenzi wetu hizi kondom zao,mnaonaje mkatoa somo kisha umasishaji ukaanza juu ya wanaume nao kuhakikisha wamewavalisha wenzi wao kondom.Halafu ikitokea demu katinga kondom yake na wewe mzee umejitwisha ya kwako,si ndo inakuwa safi zaidi.
mmoja tu ndio anatakiwa kuvaa kondomu wakivaa wawili possibility ya kupasuka inakuwa kubwa sana mpira kwa mpira na ladha inashuka mnooo
 
wote wanaambukizana hasa wakicheza ile mechi wakiwa pekupeku hapo uwezekano ni mkubwa sana.

Sasa kwanini unawashauri wanawake peke yao wakague kondomu?
 
Hapa Hommie umegonga ikulu.... Tolu tunaomba uwaonee huruma dada zetu....Usitoboe tena Condom!!

Mi niko interestedi zaidi na kujua kifaa anachotumia bwana Tolu kutoboa kondomu. Sindano? Pini au Mwiba?
 
Back
Top Bottom