Nawaandikia dada zangu wapendwa.

Nawaandikia dada zangu wapendwa.

Ngoja nikawahi mavuvuzela. Baraza lishaingia matope.
 
Ngoja nikawahi mavuvuzela. Baraza lishaingia matope.
Hahahaaa!!! mkuu!
Tufanye round up!!

Kimsingi mwanaume awaye yote, akitoboa au kutovaa kondomu kwa umakini, huku akiwa katika hali kamili ya uwelewa, na alaaniwe!!

Askofu, najua utaendelea na sana kidogo hapo!!

Mambo ya kuanzia kwenye bia na kuishia kwenye wanzuki hatutaki sisi!!
 
Back
Top Bottom