Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungekuwa karibu ningekueleza kaniudhi balaa na hasira mpaka nataka kuzimia hapa nilipo mori umepanda mpaka basi acha tu
LOL...'Sipiyu' wewe ni mchokozi sana aisee, khaaa? ...ha ha ha!
We acha tu yamenifika kooni ndo maana unaona hivyo
Will do that Mzee DC aka Babu not wa Loliondo[/QUOTE]
Hapo naona unakaribia ku-cross ule mstari wetu tuliouchora pamoja...Ila kwa sababu lazima babu acheze na wajukuu basi hakuna na matata. Nenda kalale mapema kesho uwahi shule (sorry kibarua) basi!!
Will do that Mzee DC aka Babu not wa Loliondo[/QUOTE]
Hapo naona unakaribia ku-cross ule mstari wetu tuliouchora pamoja...Ila kwa sababu lazima babu acheze na wajukuu basi hakuna na matata. Nenda kalale mapema kesho uwahi shule (sorry kibarua) basi!!
Sory sory nisamehe
Ha ha ha ha wewe bana Desi ha ha ha ha Dena bana
Sory sory nisamehe
Soma vizuri basi post yangu....Mjukuu hawezi kumkosea babu yake....!!